![]() |
| Maandamano ya Maadhimisho haya ya Wiki ya Usalama Barabarani yakiwa katika barabara ya Makongoro jijini Mwanza. |
![]() |
| Wadau wa chama cha waendesha vyombo vya moto barabarani wakiwa na bango lao lenye ujumbe. |
![]() |
| Wadau wa Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi Airtel Tanzania wakiwa wamejumuika na wadau wa makampuni menginge katika picha ya pamoja na mwanahabari Athumani Hamisi. |
![]() |
| Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Emmanuel Nchimbi akizungumza ndani ya banda la Zimamoto mara baada ya kutinga mavazi ya kitengo hicho. |
| Picha ya pamoja Kwa maadhimisho ya wiki ya usalama barabarani ambapo kauli mbiu ya Maadhimisho ya mwaka huu ni "USALAMA BARABARANI UNAANZA NA MIMI, WEWE NA SISI SOTE". |
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment