![]() |
| Picha ya pamoja ya meza kuu na wadau wa afya mbele ya bango kubwa la kampeni iliyozinduliwa leo jijini Mwanza ya uzazi salama ijulikanayo kama 'Wazazi nipendeni' |
![]() |
| Vile vile kwenye eneo hili kulikuwa na utaratibu wa kuchangia damu salama uliosimamiwa na wadau wa Afya toka Hospitali ya Agha Khan ya jijini Mwanza. |
![]() |
| Mpango wa damu salama ukiendelea viwanjani hapa. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo pia alipata fursa ya kuzindua kitabu maalum chenye maelezo tosha juu ya Kampeni hiyo ya kulinda Afya ya mama na mtoto. |
![]() |
| Kitabu chenyewe ndiyo hiki..... |
![]() |
| Wadau wa kampeni hiyo ndani ya kusanyiko la leo viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza. |
![]() |
| Menejimenti ya wadau wa Agha Khan. |
![]() |
| Huduma ya bure kwa Afya ya mama na mtoto ndani ya mpango wa 'Wazazi Nipendeni' |
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment