Boti zilizotengenezwa kwa ajili ya doria bahari ya hindi na Kampuni ya uundaji wa boti ya Songoro Marine Transport Ltd ya jijini Mwanza zimekamilika na tayari zimekabidhiwa kwa kampuni ya doria ijulikanayo kwa jina la Marine & Coastal Environment Management Project (MACEMP) tayari kwa kutoa huduma.
Mafundi wa Songoro marine Transport Ltd wanavyokuwa kazini.
Boti hizo zitakazo kwenda kufanya kazi ya doria bahari ya hindi mara baada ya kufanyiwa ukaguzi na kuonekana kuwa na viwango vya ubora kufanya safari zake baharini muda wowote kuanzia sasa zitasafirishwa kuelekea jijini Dar es salaam kwa njia ya barabara zikiwa tayari zimehakikiwa kwa viwango vya usalama barabarani.
Viongozi wa dunia kuhudhuria mazishi ya Papa
-
Mazishi ya Papa Francis yatafanyika Jumamosi katika uiwanja wa Mt. Petro,
Vatican imethibitisha, huku maelfu ya watu wakitarajiwa kuhudhuria.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.