Basi la kampuni ya KIDIA ONE limeteketea kwa moto maeneo ya Maluga kona mkoani Singida..
Abiria wote wako salama Hakuna abiria alyejeruhiwa.
Chanzo cha moto ni tairi ya nyuma kupasuka na kushika moto, hivyo juhudi za abiria na wananchi za kuzima moto huo zilishindikana baada ya moto huo kuwazidi kasi kutokana na upepo
Timiza Ndoto Zako na Meridianbet Leo
-
JUMAPILI ya mshindo na Meridianbet imefika ambapo leo hii una nafasi ya
kuibuka bingwa na mechi za kibabe kuanzia pale Uingereza mpaka kule Italia.
Su...
Katibu Mkuu Uchukuzi atembelea Banda la TCAA
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) inashiriki katika Maonesho ya 73
ya Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege (ACI Africa) na imepata fursa
ya ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.