Basi la kampuni ya KIDIA ONE limeteketea kwa moto maeneo ya Maluga kona mkoani Singida..
Abiria wote wako salama Hakuna abiria alyejeruhiwa.
Chanzo cha moto ni tairi ya nyuma kupasuka na kushika moto, hivyo juhudi za abiria na wananchi za kuzima moto huo zilishindikana baada ya moto huo kuwazidi kasi kutokana na upepo
Unaweza kuzitambua video zilizotengenezwa kwa AI?
-
Mojawapo ya ishara za wazi ni pale unapoona video yenye ubora hafifu iwe
yenye ukungu, au ukijani hilo linapaswa kukupa tahadhari kwamba huenda
unatazama v...
0 comments:
Post a Comment