Katika msimu huu wa mvua moja kati ya sekta ambazo huathirika ni Uvuvi. JEH ni changamto gani walizonazo akinamama wachuuzi wa dagaa na uduvi mkoani Mwanza? Hasa linapokuja suala la uanikaji? Mama Valentina Kigendo anayeishi Kijiweni Sweya mkoani hapa anafunguka zaidi.
ENZI MPYA ZA MAAJABU YA NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ndutu Ngorongoro.
Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani...?
Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ...
0 comments:
Post a Comment