Katika msimu huu wa mvua moja kati ya sekta ambazo huathirika ni Uvuvi. JEH ni changamto gani walizonazo akinamama wachuuzi wa dagaa na uduvi mkoani Mwanza? Hasa linapokuja suala la uanikaji? Mama Valentina Kigendo anayeishi Kijiweni Sweya mkoani hapa anafunguka zaidi.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment