ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, October 11, 2017

CHANGAMOTO ZA UANIKAJI DAGAA NA UDUVI HASA KIPINDI HIKI CHA MVUA

Katika msimu huu wa mvua moja kati ya sekta ambazo huathirika ni Uvuvi. 
JEH ni changamto gani walizonazo akinamama wachuuzi wa dagaa na uduvi mkoani Mwanza? Hasa linapokuja suala la uanikaji? Mama Valentina Kigendo anayeishi Kijiweni Sweya mkoani hapa anafunguka zaidi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.