Wakili wa Rais wa Chama Cha Wanasheria Nchini Tundu Lissu, Fatma Karume amesema kuwa Jeshi la Polisi halipo tayari kumwachia kwa Dhamana Mbunge huyo wa Singida Mashariki.
Lissu alikamatwa Jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu
Nyerere Jijini Dar es Salaam, alipokuwa akirejea Kutoka Mjini Dodoma.
ENZI MPYA ZA MAAJABU YA NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ndutu Ngorongoro.
Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani...?
Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ...
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment