TOTO Africans leo imewarusha kichurachura maafande wa JKT Kanembwa kutoka mkoani Kigoma kwa kuwafunga mabao 5-2, mchezo uliochezwa kwenye dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. Kwa matokeo hayo Toto Africans inaongoza Ligi hiyo ikiwa na pointi 35 nyuma yake wako Mwadui Fc wenye pointi 33 baada ya mchezo wa jana walioshinda 1-0 dhidi ya Polisi Dodoma. ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA KILICHOJIRI.
WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
-
Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na
chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na ...
WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
-
Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na
chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.