Siku mbili mara baada ya Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe kutangazwa kuvuliwa nyadhifa alizokuwa nazo katika uongozi wa juu chama hicho, wanachama wa chama hicho jimboni mwake wameandamana kila kona ya mji wakiwa na mabango huku wakichoma bendera na baadhi ya picha za viongozi wao kupinga uamuzi huo wa chama. Aidha wanachama hao wa CHADEMA Kigoma Kaskazini wamekitaka chama hicho kutengua maamuzi waliyochukuliwa dhidi ya Mbunge wao kama sivyo watakihama chama hicho. BOFYA PLAY KUSIKILIZA KILICHOJIRI. Kwa hisani ya Star Tv.
Kutembea pekupeku kunavyoweza kukuokoa na kifo
-
Kwa mujibu wa utafiti ambao daktari kote amegundua ni kuwa kugusa ardhi
moja kwa moja kwa ngozi ya miguu husaidia kusawazisha chaji ya umeme
mwilini, hali ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.