ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 22, 2024

RUNGU LAJA WANAOTIRIRISHA MAJI TAKA ZIWA VICTORIA - TBL YATOA SOMO KWA WANANCHI UTUNZAJI MAZINGIRA.

 NA ALBERT G. SENGO

Kutunza mazingira ni wajibu wa kila mwananchi, jamii imehimizwa kuhakikisha inatimiza wajibu huo, kwa kutunza mazingira na kulinda vyanzo vya maji ikiwemo kupanda miti majumbani pamoja na kutunza mito na fukwe za Ziwa Victoria. Wito huo umetolewa leo ijumaa 17 Machi 2024 na KAIMU MKUU WA KIWANDA CHA TBL MWANZA BERNARD MUSA - wakati wa zoezi la kufanya usafi na utoaji wa elimu juu ya kutunza mazingira, uliowashirikisha pia wafanyakazi wa Kampuni hiyo katika eneo la mto Vuka, uliopo Furahisha, Kirumba jijini Mwanza unao kusanya maji kutoka viunga mbalimbali kuyatiririsha ziwa Victoria.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.