ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 3, 2018

MELI ZETU ZIMEENDELEA KUCHAPA MZIGO TOKA BANDARI YA MWANZA.


Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP, limesafirisha makontena 18 ya chakula kwenda kwa wakimbizi wa Sudan kusini kupitia njia ya Reli ambayo haikuwa inafanyakazi kwa takribani miaka 10 iliyopita kutoka Bandari ya Dar es salaam hadi Mwanza kisha kufaulishwa kwa njia ya maji kupitia meli ya Mv. Umoja hii ni mara ya pili tangu njia hiyo ifunguliwe rasmi june 24, Mwaka huu pale bandari ya Mwanza kusini, Mahamud Mabuyu ndio Mkuu wa Kitengo cha Usafirishaji Mpango wa Chakula Duniani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.