![]() |
Ni Birthday party ya mfanyabiashara mdogo Edward aliyetimiza umri wa miaka 27 akiwa ameketi na mama yake mzazi kwenye meza kuu. |
![]() |
Lango la kuingilia ambapo kulikuwa na zuria jekundu (red carpet) ambapo ilikuwa ni fursa kupiga picha kwaajili ya kumbukumbu ya kuzaliwa Edward. |
![]() |
'Tumbuizo kali' Ya kwanza ilikuwa ni kutoka kwa msanii wa Bongo fleva Tunda Man ambaye alidrop jioni kwa pipa' hapa Rock City kwaajili ya shughuli moja tu... burudani |
![]() |
Ni kundi alikwa toka nyumbani Mwanza na mambo ya 'Azonto' |
![]() |
Wageni waalikwa na vijiti midomoni ikimaanisha wamekula wakashiba na vinywaji tele mezani.... |
![]() |
Safiiiiiiii.. |
![]() |
Kuhusu mazazi ilikuwa ni full kulipuka uwezavyo. |
![]() |
Burudani. |
![]() |
Jamaa alikamua Hip hop ragga ya hatari akichagizwa na madensa wake waliokuwa wakicheza kwa style ya tofauti kabisaaaa.... |
![]() |
De nyu style... |
![]() |
'Tunakukubali' ni kama kauli ya mashabiki ...shereheni. |
![]() |
Starehe gharama... |
![]() |
Mzuka..! |
![]() |
Mwaga radhi... |
![]() |
Another Mc was Mr. Blue...Yooo...! |
![]() |
Mc mkali ngoma kali.....! |
![]() |
Hapo vije?... |
![]() |
Hatareee...! |
![]() |
minato ya Blue. |
![]() |
Mpala kuleeeee..... |
![]() |
Ze nyomi na area ya birthday ambapo ngoma ilikwenda mpaka saa tisa usiku mnene. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.