![]() |
| Ni Birthday party ya mfanyabiashara mdogo Edward aliyetimiza umri wa miaka 27 akiwa ameketi na mama yake mzazi kwenye meza kuu. |
![]() |
| Lango la kuingilia ambapo kulikuwa na zuria jekundu (red carpet) ambapo ilikuwa ni fursa kupiga picha kwaajili ya kumbukumbu ya kuzaliwa Edward. |
![]() |
| 'Tumbuizo kali' Ya kwanza ilikuwa ni kutoka kwa msanii wa Bongo fleva Tunda Man ambaye alidrop jioni kwa pipa' hapa Rock City kwaajili ya shughuli moja tu... burudani |
![]() |
| Ni kundi alikwa toka nyumbani Mwanza na mambo ya 'Azonto' |
![]() |
| Wageni waalikwa na vijiti midomoni ikimaanisha wamekula wakashiba na vinywaji tele mezani.... |
![]() |
| Safiiiiiiii.. |
![]() |
| Kuhusu mazazi ilikuwa ni full kulipuka uwezavyo. |
![]() |
| Burudani. |
![]() |
| Jamaa alikamua Hip hop ragga ya hatari akichagizwa na madensa wake waliokuwa wakicheza kwa style ya tofauti kabisaaaa.... |
![]() |
| De nyu style... |
![]() |
| 'Tunakukubali' ni kama kauli ya mashabiki ...shereheni. |
![]() |
| Starehe gharama... |
![]() |
| Mzuka..! |
![]() |
| Mwaga radhi... |
![]() |
| Another Mc was Mr. Blue...Yooo...! |
![]() |
| Mc mkali ngoma kali.....! |
![]() |
| Hapo vije?... |
![]() |
| Hatareee...! |
![]() |
| minato ya Blue. |
![]() |
| Mpala kuleeeee..... |
![]() |
| Ze nyomi na area ya birthday ambapo ngoma ilikwenda mpaka saa tisa usiku mnene. |
Tupe maoni yako






















0 comments:
Post a Comment