ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 22, 2012

TUJIFUNZE NINI KUTOKA OLYMPIC 2012

Tukio  la  mwisho la Olimpiki 2012 lililokuwa na washindi  toka Afrika Mashariki ni mbio za Marathon,  mitaani London . Ingawa mshindi hakutoka  Bongo- wakimbiaji  wetu  watatu walishiriki kwa dhati bila mafanikio.  Kabla ya kurudi nyumbani  wanamichezo  walialikwa na Ubalozi wetu Uingereza. Je, ilikuwaje?  Nini kilizungumziwa? Na je , nini funzo au somo la mashindano haya kwetu sote? 

Tafakari, chukua hatua na kuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mapunduzi katika tasnia ya Michezo Tanzania.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.