Tukio la mwisho la Olimpiki 2012 lililokuwa na washindi
toka Afrika Mashariki ni mbio za Marathon, mitaani London . Ingawa
mshindi hakutoka Bongo- wakimbiaji wetu watatu walishiriki kwa dhati
bila mafanikio. Kabla ya kurudi nyumbani wanamichezo walialikwa na
Ubalozi wetu Uingereza. Je, ilikuwaje? Nini kilizungumziwa? Na je ,
nini funzo au somo la mashindano haya kwetu sote?
Tafakari, chukua hatua na kuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mapunduzi katika tasnia ya Michezo Tanzania.
TUTATOA USHIRIKIANO KWA WIZARA-MNZAVA
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imeahidi kutoa
ushirikiano kwa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makaz...
IJUE KRETA YA EMPAKAAI (EMPAKAAI CRATER).
-
*Kasoko ya Empakaai ni mojawapo ya Kasoko za volkano ndani ya Hifadhi ya
Ngorongoro, ikiwa na kingo za juu na ziwa zuri linalofunika zaidi ya
asilimia 7...
0 comments:
Post a Comment