Tukio la mwisho la Olimpiki 2012 lililokuwa na washindi
toka Afrika Mashariki ni mbio za Marathon, mitaani London . Ingawa
mshindi hakutoka Bongo- wakimbiaji wetu watatu walishiriki kwa dhati
bila mafanikio. Kabla ya kurudi nyumbani wanamichezo walialikwa na
Ubalozi wetu Uingereza. Je, ilikuwaje? Nini kilizungumziwa? Na je ,
nini funzo au somo la mashindano haya kwetu sote?
Tafakari, chukua hatua na kuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mapunduzi katika tasnia ya Michezo Tanzania.
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.