ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 8, 2017

WANANCHI WAKAZI WA KIJIJI CHA ISENYI KATA YA NYAKASASA KISIWA CHA KOME WILAYANI SENGEREMA WAMEIOMBA SERIKALI KUWASAIDIA KUMALIZIA UJENZI WA ZAHANATI ILI KUWAONDOLEA KERO YA KUTEMBEA KWA UMBALI MREFU KWEMDA KIJIJI JIRANI KUTAFUTA HUDUMA YA AFYA

Hospitali hii ndiyo imebaki pekee kama tegemeo la wakazi wote wa vijiji vinavyoizunguka wilaya ya Sengerema.
WANANCHI WAKAZI WA KIJIJI CHA ISENYI KATA YA NYAKASASA KISIWA CHA KOME WILAYANI SENGEREMA WAMEIOMBA SERIKALI KUWASAIDIA KUMALIZIA UJENZI WA ZAHANATI ILI KUWAONDOLEA KERO YA KUTEMBEA KWA UMBALI MREFU KWEMDA KIJIJI JIRANI KUTAFUTA HUDUMA YA AFYA
Wakizungumza na JEMBE FM wakazi hao wamesema kuwa wamekuwa wakiangaika na wakitembea umbali mrefi kwenda cliniki  kijiji jirani kupata huduma ya afya na kusababisha baadhi ya akina mama kuzalia njiani na wengine kupoteza maisha hasa nyakati za usiku.

Kwa upande wake mwenyekiti waserikali ya kijiji hicho cha  ISENYI bwana VEDASTUSI ITOBI amekiri kuwepo kwa kero hiyo ambayo ni miaka saba tangu kuanza kwa ujenzi wa zahanati hiyo na kuongeza kuwa  wamekuwa wakipewa wakipewa ahadi na baadhi ya viongozi lakini hazitimiliziki. BOFYA HAPA KUSIKILIZA.

Ili kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo Mwenyekiti huyo amesema wananchi waneshasomba mawe na mchanga changamoto kuwa nikiwa ni fedha ya kuwalipa mafunzi na kuiomba serikali kuwasaidia kukamilisha ujezi wa zahanati hiyo ili kuwaondolea adha wananchi kijijini hapo



Endapo Zahanati hiyo itakamilika na kuwanza kutoa huduma ya afya zaidi ya kaya 1200 zifanufaika na huduma.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.