ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 21, 2017

ZAHANATI YA MWABALUWI HAINA CHOO CHWA WAGONJWA ZAIDI YA MIAKA MINNE



Mkuu wa wilaya wa sengerema amemwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya hiyo kuwasilisha taarifa ya matumizi ya fedha za serikali zilizotolewewa kwaajili ya kuboresha miundombinu kwa baadhi  ya zahanati wilayani humo tutokana kutuwepo na choo cha wagonjwa katika zahanati ya mwabaluwi.

Mh Emanueli kipole ameyasema hayo katika kikao cha adhala kwa wannchi  katika kata ya Mwabalui baada ya kukagua shughuli za maendeleo na kuwataka wananchi kushiriki katika kujiletea maendeleo yao kwa kufanya kazi.

Kwaupande wake mwenyekiti wakitongoji bwana Steven   Itoba amekili kutokuwepo na choo hiyo na kuongezakuwa imekuwa ni chagamoto kwa wagonjwa na walemavu wanaofika kupata huduma ya afya zahanati hapo.

Wakitoa hoja zao kwa mkuu wa wilaya katika kikao cha adhala wananchi hao wamesema kuwa wamekuwa wakipata usumbufu zaidi ya miaka mitano  pindi wanapofika hospitalini hapo kupata matibabu

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.