Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli yupo mkoani
Pwani kwa ziara ya kikazi ambapo leo anawahutubia wananchi wa Bwawani,
Kibaha mkoani humo.
Katika siku za hivi karibuni, Mkoa wa Pwani
umekumbwa na mfululizo wa matukio ya mauaji, jambo linaloonesha kumkera
sana mheshimiwa rais.
'Niliwekwa kimada nikiwa na miaka 12'
-
Elizabeth Paul Chitesya, mwenye umri wa miaka 29, anayeishi na maambukizi
ya virusi vya UKIMWI kwa takribani miaka 10 sasa
KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA(TIC) KUJENGWA ARUSHA
-
*Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo
akizungumza katika kongamano la uwekezaji kwenye sekta ya Utalii Jijini
Arusha Leo 3...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.