ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 4, 2015

WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO

Dkt. Manoj Kumar Agarwala, Mshauri Mwandamizi na Mtaalamu wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Moyo katika Hospitali ya Apollo Hyderabad.


Na Mwandishi Wetu,
Dar Es Salaam, Oktoba 2015:Ikiwa zimepita siku tatu toka kuhadhimishwa siku ya Moyo dunia ni mwaka huu, Watanzania wameshauriwa kufanya maamuzi binafsi katika kujali afya ya moyo. 

Kauli mbiu ya Siku ya Moyo duniani mwaka 2015 inahusu kuchagua afya bora ya moyo kwa kila mtu na kila mahali. 

Pia inalenga kuonyesha matokeo ambayo mazingira yetu yanaweza kuleta juu ya uwezo wetu wa kufanya maamuzi bora kwa ajili afya bora kwa moyo wa binaadamu. 
  Piasikuhiyoinatumikakuelimishajinsiambavyomazingiratunayoishiyanawezakuathirinakuongezahatariyamagonjwayanayohusiananamoyo.
Kwamujibuwatakwimuyahivikaribuniya WHO iliyochapishwa Mei 2014, vifovyaugonjwawamoyonchini Tanzania vimefikia 11,031. Hiinisawanawastaniwavifo54 kwakilawatu 100,000,nahivyokuiweka Tanzanianchiya 148 duniani. Idadihiiyavifoinayosababishwanamatatizoyamoyoinahitajimabadilikoharakasanaikibidikusitishwakabisa.
Ikiwachanzokikubwa chavifovingiduniani, magonjwayamoyoyakiwanipamojanaugonjwawamshtukowamoyo, ugonjwawamishipayamfumowafahamu (kiharusi), shinikizo la damu, ugonjwawamishipayaateri, ugonjwawamoyokupooza, ugonjwawamoyowakurithinamoyokushindwakufanyakaziyanaigharimunchikiuchuminakijamiikwakiasikikubwa. Watanzaniawengiwanakufakwamagonjwayanayohusiananamoyokilamwaka, haliambayoinahitajihatuamadhubutinamsaadawakimkakatiwawadauwamaendeleoilikubadilihili. Mambo hatarishiyakitabianayakisaikolojiayanadaiwakuchangia75% yamagonjwayamoyo. Kwakweli, magonjwamengiyanayohusiananamoyoyanawezakuzuiwakwakushughulikia mambo hatarishi.
Dkt. Manoj Kumar Agarwala, MshauriMwandamizinaMtaalamuwaMagonjwayaMoyonaMishipayaMoyokatikaHospitaliyaApollo Hyderabad,anatajabaadhiyamambo hatarishiyanayowezakusababishaugonjwawamoyo. Mambo hayonipamojanaumri, jinsia, historiayafamilia, sigara, lisheduni, shinikizo la damu, kiwangokikubwa cha mafutakwenyedamu, kisukari, unenewakupindukia, kutofanyamazoezi, dhikinahaliduniyausafi. Dkt.Agarwalaanapendekezakuachakuvutasigara, kupunguzamafuta, kudhibitishinikizo la damu, kuwamchangamfu, kulamlokamili, kuzingatiauzitounaotakiwakamanjia bora yakupunguzahatarizamagonjwayamoyonamishipa. Anaongezakuwamazingiraambayotunaishi, kufanyakazinakushirikimichezoyanawezakuwanamatokeomakubwajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzisahihikwaafyayamioyoyetu. 
Maishayashughulinyingipamojanauhabawamlokamili, matumiziyatumbaku, ukosefuwamazoezivinaongezakiwango cha vifovinavyotokananamoyonchiniTanzania. Mabadilikokatikamaishayanahitajimchanganyikowahatuabinafsinahatuazakijamiinakiuchumivilevile.
Tunaaminikwambakilamtu, kilamahalianahakiyakuchaguakuimarishaafya borayamoyo. Kujengamazingirayaafyayamoyoyatatuwezeshasotekufanyamaamuzisahihiyanayowezakupunguzahatariyaugonjwawamoyonakiharusi. AnathibitishaMtaalamuhuyowamoyokutokaHospitaliyaApollo.
Kama mojayasababumuhimuzaafyayamoyo, Dkt. Girish B NavasundiMshauriMwandamizi, MtaalamumagonjwayaMoyokatikaHospitaliyaApollo, Bangalore,anawaelimishaWatanzaniajuuyaumuhimuwamajiyakunywailikuepukamagonjwayamoyo, utamaduniambaoWatanzaniawengihawana. "Moyohauwezikupigabilamaji, asilimia 70 yamwiliwabinadamunimaji. Kwahiyo, kufikiahomiostasisiyamajinaelektrolitinimuhimukwaajiliyautendajimzuriwamwili,hasamfumowamishipayadamu. Anasema.
"MwiliBinadamuunahitajikaribu 35 ml zamajikwa kilo yauzitowamwilikwasikuhiyonikaribu 2,100 ml kwa kilo 60 mtu. Matumiziyaglasitano au zaidizamajikwasikukwakiasikikubwahupunguzamatukioyajangala mashambuliziyamoyo, ikilinganishwanakushindwakunywachiniyaglasimbilizamajikwasiku. "AnaongezaDkt.Navasundi.
Dkt.Navasundianahitimishakwakusemafaidazamatumiziyakutoshayamajihufanyadamukuwanyepesi, kufanyamzunguko wake kwendavizurikatikamfumowamoyo, itapunguakazikubwayamoyonahupunguzahatariyadamukugandapapokwapapondaniyamishipayadamu.
Sikuyamoyoinalengakuboreshaafyadunianinakuhimizawatukufanyamabadilikoyamtindowamaishanakukuzaelimukimataifakuhusunjiazakuwekamoyowakonaafyanjema. SikuyaMoyoDuniamwakahuu, imelengakatikakujengachaguosahihi la afyayamoyokwakilamtu, kilamahalikwakuhakikishakuwawatuwanauwezowakufanyamaamuzijuuyaafyayamoyopopote pale wanapoishi, kufanyakazinakushirikimichezo. Sikuhiiinatuhimizasoteilikupunguzahatarizamoyonamishipa, nakukuzasayariyenyeafyayamoyokwa wale waliokaribunasi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.