ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 7, 2018

MKAPA ATUA MWANZA KUELEKEA SIMIYU KUZINDUA NANENANE.

 NA ZEPHANIA MANDIA GSENGOtV

Mkuu wa mkoa Mwanza John Mongela, mapema leo amempokea Rais mstaafu wa Tanzania wa awamu ya tatu katika uwanja wa ndege wa Mwanza Mhe.Benjamin Makapa, ambeye pia ameambatana na mkewe Mama Anna Mkapa.

Mongella alikuwa ameambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa akiwemo Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mhe. Kangi Lugola.

Mzee Mkapa ataeleke mkoani simiyu kwa ajili ya kufungua maonyesho ya nane nane.





Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.