Ma-Kapteni wa timu za Toto (kulia) na Polisi Mara (kushoto) wakisalimiana mbele ya waamuzi kabla ya mchezo wao wa Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, uliochezwa uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, dakika 90 zikimalizika Toto 2, Polisi Mara 0.
Kikosi cha Polisi Mara kilichoshuka leo dimbani CCM Kirumba kukabiliana na Toto Africans.
Mchezo wa Ligi soka daraja la Kwanza Tanzania bara katika kundi C baina ya Toto Africans na Polisi Mara umemalizika dimbani CCM Kirumba jioni ya leo kwa Toto Africans ya jijini humo kuibuka na ushindi mnono nyumbani kwa kuwabugiza Maafande wa Mara, bao mbili sifuri (2-0) Zaidi sikiliza taarifa ifuatayo toka Mwanza:- (BOFYA PLAY)
Zaidi ya Migodi 13,000 Yakaguliwa
-
• Wakaguzi wa Migodi Wajengewa Uwezo
• Makusanyo Sekta ya Madini Yavuka Lengo
Mwanza
JUMLA ya migodi 13,279 pamoja na bohari za baruti 164 zimekaguliw...
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.