Tupe maoni yako
MEYA DKT. NICAS: TUMETENGA MIL. 900 UJENZI WA MADARASA, MIL. 400 KWA AJILI
YA MADAWATI KIBAHA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, amesema kuwa uongozi wake
pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha wametenga ...
6 hours ago
Gsengo thanks sana kwa kutuletea Taswira za mwanza.
ReplyDeleteKule ile hotel ilikuwa maeneo ya Kamanga(ROCKY BEACH) baadaye nasikia walipewa wa Asia(sijui china au wahindi sina uhakika).Sijui kwa sasa inatwa jina gani na vipi kuna mabadiliko..kama yapo nitashukuru sana kuona Kiwanja hicho mkuu.
mdau Tampere,Finland
Edwin umejichimbia wapi we? Pamoja mzazi
ReplyDelete