Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema dirisha la usajili kwa vilabu vya Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili litafungwa Julai 31, 2019 huku usajili kwaajili ya michuano ya CAF kwa timu za Simba, Yanga, Azam na KMC ukifungwa Julai 10, 2019.
0 comments:
Post a Comment