![]() |
| Watu wakitembea barabarani kusaka mahala pa kwenda kujisitiri na kupata msaada mara baada ya kimbunga kikali kilichoikumba nchi ya Haiti mnamo tarehe 4 mwezi Octoba 2016. |
![]() |
Raia wameonekana kwa wingi barabarani wakirejea kwenye makazi yao mara baada ya hali kuonekana ya afadhali kiasi.
|
![]() |
| Upepo mkali umevuma ukipeperusha minazi na miti yenye nguvu. |
![]() |
| Baada ya kaya yake kuharibiwa vibaya mwanamke huyu imembidi kutafuta mbinu mbadala ya kujiokoteza mali zilizo tapakaa mitaani na kunasa kwenye kona mbalimbali miferejini. |
![]() |
| Maelfu ya watu wamepoteza makazi yao na walau kumi wamekufa. |
Tupe maoni yako







0 comments:
Post a Comment