![]() |
| Kuvamia kwa wafanyabiashara katika maeneo haya ya miliki ya barabara kunasababisha ajali, kuwepo na ufinyu wa watumiaji wa barabara wakiwemo watembea kwa miguu. |
![]() |
| Kutokana na kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha mkoa wa Mwanza kilichokaa na kukubaliana na ombi la TANROAD la kuwaondoa wafanyabiashara hao waliojikita ndani ya hifadhi ya barabara. |
![]() |
| Gari la TANROAD na vifaa vyake kikazi zaidi. |
![]() |
| Zoezi hilo linafanywa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi. |
![]() |
| Tokea mwezi wa nne mwaka huu (2013) amri na muda maalum uliwekwa kwa wafanyabiashara wote waliovamia hifadhi za barabara hizo kuondoka mara moja hivyo zoezi la sasa linawahusu wale waliokaidi. |
Tupe maoni yako






0 comments:
Post a Comment