Tarehe 28 Juni 2025 ILIKUWA siku ya kwanza ya uchukuaji fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani.
Asubuhi tu ya siku hiyo, Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mwanza Ndg John Nzilanyingi alifika ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Nyamagana na kuchukuwa fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama kuwania ubunge Jimbo la Nyamagana kwa uchaguzi Mkuu wa baadaye Octoba mwaka huu.
ENDELEA KUTUFUATILIA TUKIKUPA DATA MBALIMBLI KUELEKEA UCHAGUZI HUO.
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment