Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao wa majambazi na shehena ya silaha. Bunduki 23 za kivita. Risasi 853 Sare za polisi Pingu 48 Pamoja na Radio call 12 ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya unyang'anyi katika jiji la Dar es salaa na mikoa ya jirani.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.