Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao wa majambazi na shehena ya silaha. Bunduki 23 za kivita. Risasi 853 Sare za polisi Pingu 48 Pamoja na Radio call 12 ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya unyang'anyi katika jiji la Dar es salaa na mikoa ya jirani.
KENYA YATOA HATI ZA VYUO VIKUU KWA KAIST NA KEMRI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Serikali ya Kenya imetoa hati rasmi za vyuo vikuu kwa Kenya Advanced
Institute of Science and Technology na Kenya Medical Research I...
Nchi 7 duniani ambazo mvua ni 'dhahabu'
-
Wakati Afrika Mashariki ikikumbwa na mvua kubwa na mafuriko, kuna baadhi ya
nchi duniani ambazo kuona mvua ni jambo la nadra sana kutokana na ukame
mkali u...
0 comments:
Post a Comment