ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 30, 2012

GAZETI LA DIRA; KASHFA YA KUHONGWA WABUNGE LAWATAJA Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango

Gazeti la Dira la leo limewataja wabunge wanasadikiwa kulamba mlungula ambapo kwa mujibu wa gazeti hilo wamo Zitto Kabwe ambaye anatajwa kuwa na ukwasi wakutisha ikiwapo nyumba kadhaa na magari ya kifahari, wengine waliotajwa ni Ole Sendeka na Mama Kilango Malecela ambao ndiyo wapiga kekele wakubwa wa ufisadi kumbe usanii tu.

Kwa upande mwingine limeeleza kuwa Katibu mkuu wa Chadema Dk. Slaa amesema ikiwa itabainika wabunge wake watakutwa na hatia watachukuliwa hatua kali za kichama.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.