LEO ni siku ya Uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika. Watanzania wote wanaadhimisha uhuru wa Tanganyika kutimiza miaka 49 tangu wakoloni wa Uingereza walipokabidhi hatamu za uongozi wa taifa hilo, ambalo sasa linajulikana kama Tanzania Bara, kwa wananchi wenyewe, Desemba 9, 1961. Maadhimisho ya siku hiyo yanawapa nafasi na changamoto kubwa Watanzania za kutafakari walikotoka, walipo na wanakokwenda li kuona wapi walikosea, kuteleza au kufanya vizuri, na kupanga mikakati ya kuondoa kasoro na kuweka mipango madhubuti zaidi ya kuendelea kulijenga taifa lao. TATIZO LA MAJI SAFI NA SALAMA. Yapo maendeleo makubwa yaliyopatikana kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na serikali na wananchi tangu uhuru. Lakini pamoja na maendeleo hayo, zipo changamoto kubwa zilizokwaza harakati hizo za maendeleo, ambazo wakati wa kusherehekea miaka 49 ya uhuru, tunapaswa kuzitafakari na kuzipatia ufumbuzi utakaolipeleka mbele zaidi taifa letu.
MIAKA 49 YA UHURU WA TZ OYEEE.. NINA AMINI KUWA TUTAFIKA.
UBALOZI WA TANZANIA UJERUMANI WAPONGEZWA
-
NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy
Nderiananga (Mb) ameupongeza Ubalozi wa Jam...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.