![]() |
Taswira ya kusanyiko la kongamano. |
![]() |
Mratibu wa Kongamano hilo Bi. Khadija Liganga akiongoza taratibu mbalimbali ili kila mshiriki aweze kuchangia bila michango ya mawazo ya kujirudia rudia na humo ndani mengi yaliibuka. |
![]() |
Washiriki toka vyuoni. |
![]() |
Kwa umakini ndani ya Kongamano. |
![]() |
Wivu, kutopenda mafanikio na maendeleo ya mwanamke mwingine ni moja kati ya sababu zilizoanishwa na mshiriki Rosina Temalirwa kutoka chuo cha SAUT Mwanza. |
![]() |
"Elimu ya kura inaonekana kama suala la kupoteza muda" alisema Joseph. |
![]() |
"Vyombo vya habari haviwashape wanawake habari zao haziandikwi zaidi ya kuandikwa kwenye mapishi na shughuli za malezi pekee" alisema mama huyu. |
![]() |
Mama Africa. |
![]() |
Big up KIVULINI. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.