Mawaziri wa zamani Bazir Mramba, na Yona wapunguziwa adhabu ya kifungo kutoka miaka mitatu hadi miwili baada ya kukata rufaa. Mawaziri hao walipatikana na hatia ya kutumia madaraka vibaya na kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.5.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.