ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 28, 2014

SAMSUNG YAFANYA MAMBO.

Mwakilishi wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia) akimkabidhi, Gaspaer Dismas mshindi wa TV ya Samsung, Nkwaya Maduhu aliyeshinda katika droo ya mwezi May 2014. Makabidhiano ya zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia) akimkabidhi, Salim Kheri mshindi wa Tablete ya Samsung, aliyeshinda katika droo ya mwezi May 2014.Makabidhiano ya zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia)akimkabidhi, Henry Joseph mshindi wa Microwaves ya Samsunga liyeshinda katika droo ya mwezi May 2014. Makabidhiano ya zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo (kulia) akimkabidhi, Nurdin Nurdin mshindi wa Home Theater ya Samsung  aliyeshinda katika droo ya mwezi May 2014.Makabidhiano ya zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mwakilishi wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya makabidhiano ya zawadi za Samsung katika droo ya mwezi May 2014. Makabidhiano ya zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam.

TOLEO LA LEO
WASHINDI WA SAMSUNG E-WARRANTY WAZAWADIWA

Dar es Salaam, Jumatano, Julai 23 2014; Kampuni ya Samsung Tanzania kitengo cha elektroniki leo hii imewakabidhi washindi wa Mai katika droo ya E-Warranty. Makabidhiano haya yalifanyika katika duka kuu la Samsung Quality Centre, barabara ya Pugu.

“Mfumo huu wa E-Warranty umekuwa na mafanikio sana humu Tanzania Mfumo huo wa e-warranty unawasaidia wateja kujua kama simu ya Samsung wanayotaka kununua inadhamana ya miezi 24, kama simu imeibiwa au inatafutwa na kama simu ni mpya au imeshatumika’, alisema Mwakilishi wa Samsung Bwana Ibrahim Kombo.

Zawadi za kushindania ni: Televisheni 1 aina ya LED ya inchi 32, Galaxy Tab 1, Kamera 3, home theatre 1, Microwave 3 na simu 1 aina ya Galaxy Grand.

Kujua kama simu ni halali, mteja anatakiwa kufuta maelekezo yafuatayo: Tuma ujumbe na neno ‘Check’ ikifuatiwa na alama ya nyota (*) kisha namba ya IMEI, ikifuatiwa na alama ya reli (#) na kutuma kwa namba ‘15685’. Ujumbe unatumwa moja kwa moja kuelezea hadhi ya simu hiyo ya Samsung.
-MWISHO-    
Kwa maelezo zaidi wasiliana na;
Sylvester Manyara, Meneja wa Mauzo na Usambazaji,
Mobile; +255 683 984 215,

Kuhusu Samsung;
Samsung inafahamika Dunia nzima kwa teknolojia ya kisasa, inatengeneza bidhaa bora kabisa kwa kuzingatia mazingira halisi ya Afrika. Samsung ina idara tatu ambazo ni Samsung Mobile inayohusika na simu za mkononi za Samsung za aina zote. Samsung Electronics inayohusika na vifaa vya Samsung majumbani kama Viyoyozi, majokofu, mashine za kufulia etc. Na mwisho kabisa Samsung IT inayohusika na laptop, mashine za nukushi (photocopy), na kamera. Kwa maelezo zaidi tembelea www.samsung.com

WASHINDI WA DROO YA SAMSUNG E-WARRANTY MAI 2014


NO
JINA
MKOA
ZAWADI
1
MKWAYA MADUHU
DAR ES SALAAM
LED TV 32'
2
SALIM KHERI
DAR ES SALAAM
TABLET
3
MBONI KASSIM
DAR ES SALAAM
MICROWAVE
4
VICKY LUKINDO
DAR ES SALAAM
HOME THEATRE
5
KIBWANA KITOGO
DAR ES SALAAM
CAMERA
6
NURUDIN NURUDIN
ARUSHA
HOME THEATRE
7
HALIMA AYOUB
MWANZA
CAMERA
8
TWACHA MOKINA
MOSHI
MICROWAVE
9
MAINDA CHRISTOPHER
MBEYA
CAMERA
10
HENRY JOSEPH
DODOMA
MICROWAVE

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.