Mchezaji Timu ya Kenya akijitahidi kwa udi na uvumba kuwatoka mabeki wa Ethiopia lakini wapi, Kenya ikabamizwa goli 2-1 hadi kipyenga kinalia.
Wadau kulia Adam Mossi pamoja na mkurugenzi wa Zizzou Fashion, Othman Tippo wakifuatilia kwa makini kandanda safi iliyokuwa ikichezwa kati ya Kenya na Ethiopia. HABARI KAMILI TEMBELEA MICHUZI JR.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.