ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 12, 2018

MFANYABIASHARA MAARUFU ALIYENASWA KATIKA UVUVI HARAMU WILAYANI SENGEREMA


MFANYA biashara na mvuvi mashuhuri Ziwa Victoria wilayani Sengerema mkoani MwanzaJoseph Njako (Njiwa Pori) anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani humo kwa tuhuma za kumiliki zana haramu za uvuvi zilizopigwa marufuku na Serikali,z alizokuwa amezichimbia ardhini katika maeneo ya kiwanja cha makazi yake.

Tukio hilo la kukamatwa mfanya biashara huyo limetokea siku ya jumanne ya wiki hii majira ya saa tisa alasiri katika kitongoji cha KACHU kata ya NAMATONGO wilayani SENGEREMA Ikiwa mi mara ya tatu kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo kwa kumiliki na kujihusisha na uvuvi halamu ndani ya Ziwa Victoria kama anavyoeleza mkuu wa wilaya hiyo....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.