ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, March 13, 2016

UFISADI BUNDA WADAU WAFYEKA HADI FEDHA ZA UJENZI WA MOCHWARI.

Zaidi ya shilingi milioni 600 zilizotolewa na Rais wa awamu ya 4 kwa ajili ununuzi wa gari la wagonjwa wilayani Bunda zaelezwa kutumika kinyume na malengo huku TAKUKURU ikitakiwa kufanya uchunguzi wa kina na kuwafikisha wahusika mahakamani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.