Moja ya athari zinazotajwa kujitokeza na hata kuathiri dira ya elimu kwa waafunzi shule ya Sekondari Mihama ni tukio la mmoja wa wanafunzi wa kike shuleni hapo ambaye hivi majuzi alilazimika kuhama mkondo wa Sayansi na kwenda Art kufuatia manyanyaso aliyokuwa akifanyiwa na mmoja wa walimu hao aliyekuwa akimtaka kimapenzi
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.