ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 9, 2016

CHEREKO LA HARUSI YA JONAS NA BENITHA LILIYOFANYIKA JIJINI MWANZA.

 Bwana Jonas Songora na Bi. Benitha Tebuka wakiwa katika red carpet kwenye ukumbi wa sherehe Gold Crest Mwanza, baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la AICT Makongoro jijini humo. 
Wakivalishana pete kuwa mwili mmoja...
Vyeti vya ndoa.....!!
WapambeZ...!
Bi harusi Benita Tebuka katika pozi na dadaz kabla ya sherehe.
Zwanga photo na Selfie...
Mke ni pambo.....
Who is next?
Jonas & Benitha.


Siku ya Furaha yenye historia.
Mr & Mrs David Simba ndiyo waliopata dhamana ya kusimamia harusi hiyo.
Jonas & Benitha take one.
Jonas & Benitha take two.
Wow...that's good muonekano.
Men in Black.
Matayarisho kuelekea sherehe ya harusi...
Taswira adimu.
Ninyweshe nikunyweshe....Furahia utamu wake.
The cake.
Hatariiiiii...
Engo adimu.
Furaha wacha itawale.
PICHA NA ABC STUDIO MWANZA.
ILI KUPENDEZESHA HARUSI YAKO BASI TUWASILIANE.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.