Wadau hao wanatembelea shule yao ya zamani na kukagua shughuli za uendeshaji na utoaji elimu ikiwa ni sambamba na kuzimaini changamoto zilizopo ambazo zinaendelea kuikabili shule hiyo BOFYA PLAY KUSIKILIZA
Bwana Mussa Ezekiel akitizama moja ya kengele aliyoiacha mwaka 1992. |
Kushoto ni Mussa Ezekiel, katikati ni John Semakura na kulia ni Mirambo Mulela wakionyesha mazingira ya shule hiyo ambayo walisoma miaka ya 1992. |
Hapa walitembelea jiko ambalo waliliacha miaka hiyo ya 1993. |
Hapo ni Mirambo Mulale akiwa kwenye chumba cha maabara ambacho pia ni changamoto. |
Hawakuishia hapo walitembelea wanafunzi wa sasa shuleni hapo na kuwatia moyo. |
Shimo la kisima cha zamani. |
Kushoto ni John Semakura (L) Mussa Ezekiel (C) na Mirambo Mulela (R) wakiwa eneo la bwawa ambalo limetumika kwa miaka sasa kuhifadhi maji kwa matumizi ya shule hiyo. |
Mussa Ezekiel akionyesha lango la bweni la wasichana ambalo pia linachangamoto zake. |
Vyoo vya shule vilivyotumika tangu enzi za Mwinyi. |
Hapa kulikuwa na kisima. |
Mbele ya ofisi za shule hiyo ya sekondari. |
Nje ya mazingira ya shule. |
Taswira na mazingira. |
Ndani ya ofisi za mkuu wa shule ya sekondari Nyamilama. |
Wakibadilishana mawazo na baadhi ya walimu wa shule ya Sekondari Nyamilama. |
Wakiwa mbele ya bweni ambalo kwa sasa ni la wasichana. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.