Kesho Ijumaa Malaika Band ambao hupiga hapo Mango kila Ijumaa, watakuwa Arusha mjini. Twanga Pepeta ambao hupiga Mango Garden kila Jumamosi, Jumamosi hii watakuwa Wenge Garden Ukonga.
Bendi ya FM Academia ambayo huibuka Mango Garden nakufukia viraka vya bendi zilizopata dharura ya kuhama ukumbi, Ijumaa hii itakuwa Polisi Kilwa Road wakati Jumamosi itakuwa Leaders Club katika tamasha la nyamachoma.
Yamoto Band watakwea jukwaa la Mango Garden Kinondoni leo usiku (Alhamisi, 28) kuonyeshana kazi na wenyeji wao Mashauzi Classic chini yake Isha Mashauzi.
Ni onyeshoambalolimetekahisiazamashabikiwamuzikikutokananaukwelikuwavikundihivyoviwilihavijawahikukutanakatikakatikaonyesho la pamoja, ukiondoayalematamashayanayoshirikishawasaniiwengi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.