WAKATI JIJI LA MWANZA LIKIWA KTK MCHAKATO WA KUJITANGAZA ZAIDI KATIKA SUALA ZIMA LA UTALII, NAMI PIA KAMA MDAU WA SEKTA YA KUBLOGISHA SIKU SI NYINGI NITAKULETEA VIVUTIO VINAVYO PATIKANA KTK JIJI HILI LA MIAMBA. ENDELEA KUCHUNGULIA BLOG HII YAWEZEKANA IKAWA KESHO, NANI AJUAYE? TOKA JUU MJENGONI MAHALA NILIPO PIGA PICHA HII NI USIKU WA JANA MAJIRA YA SAA 22:13 KEEP LEFT KIELELEZO CHA MWANZA.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.