ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 18, 2017

JPM: HIKI NI KIMBUNGA VURUGA UPINZANI.


Ameyasema hayo hii leo kwenye ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 9 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao unaofanyika mkoani Dodoma na kuhudhuriwa na wajumbe mbalimbali wakiwepo marais wastaafu.

“Nimepokea majina mengine ya viongozi wa upinzani ambao wanataka kurudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasaidizi wangu wameniambia yupo Mbunge mmoja anataka kurudi na ameniambia kuwa anataka kuja na madiwani saba kwenye jimbo lake, nasema hiki ni kimbunga na wataisoma namba kweli kweli,”amesema JPM

Aidha amewataka viongozi wapya wa Chama hicho kuhakikisha wanafanya kazi ya kuongeza wanachama wapya katika chama hicho ili kiweze kuwa imara zaidi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.