ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, September 5, 2016

UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETI YA LEO September 5, 2016


SIMU.tv: Kauli za Magufuli zakoleza mpasuko Zanzibar, Wafuasi wa Lipumba wakinukisha, Risasi zarindima makao makuu ya CUF  Dar. Pata undani wa dondoo hizi za magazeti ya leo hapa.


SIMU.tv: Mwakyembe: Mafisadi wachochezi kukiona, CUF yaijibu kauli ya JPM, Utata mdororo wa mizigo bandarini, Pata dondoo hizi hapa: 

SIMU.tv: Kauli za JPM Zanzibar yazua mjadala mzito, Padri amshukia Magufuli, Siri ya kupungua mizigo bandarini yabainika. Habarika na dondoo za magazeti ya leo hapa: 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.