ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, June 12, 2016

OLE MEDEYE ACHOMOKA CHADEMA.

Kada wa CHADEMA na mbunge wa zamani wa Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye ametangaza leo rasmi kuhamia chama cha UDP. Ole Medeye amezungumza hayo mbele ya mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho,Mwananyamala jijini Dar.

Medeye amezungumza kwa kujipambanua kuwa yeye anasimamia haki na demokrasia, na kwamba amekerwa sana na tabia ya vyama vya Upinzani kutomheshimu Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu, pichani kati ni Mwenyekiti wa chama cha UDP, Mh.John Cheyo akishuhudia tukio hilo. KWA HISANI YA MICHUZI JR

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.