ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 4, 2012

MEDIA NIGHT GALA AT MWANZA HOTEL

Mwenyekiti wa Kamati ya maadili ya baraza la habari Tanzania (MCT)Jaji Robert Mihayo akionyesha kitabu kilichozinduliwa usiku wa jana, kiitwacho State of the media report 2011, mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani huku akishuhudiwa na mgeni rasmi mh.mkuu wa mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo (L) na Rais wa UTPC Abubakar Karsan (R) katika hafla hiyo iliyofanyika Mwanza hotel ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari nchini.

Mwenyekiti wa Kamati ya maadili ya baraza la habari Tanzania (MCT)Jaji Robert Mihayo akimkabidhi nakala ya kwanza mgeni rasmi mh.mkuu wa mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo. 

Kisha neno la shukurani.. 

Ndipo Burudani ikafuata... 
Wanahabari wakipata flash kwenye mtoko huo.. 

Hapa ilikuwa mwanzo kabisa kabla hazija kolea mkichwa ili watu washushe matirio.. 

Blogger maarufu wa HOSANNAINC akigonga chiaz na mgeni rasmi. 

Yakafuata mambo yetu ya mboga saba kujisevia.. 

Drafti likiendelea kuchezeka kimya kimya...

Meza yetu na mapilipili mwaaaa... 

Meza zilichafuka balaaaaa... 

Meza iliyotishaaa "Muraaa...! Reta hapa.. bhana" 

Misosiso.. 

Wadau wakiendelea kujinafasi kwa nafasi bila tafash... 

Huyu hapa mshereheshaji wa sherehe hiyo iliyofana Mc Chonya. 

Ikafika zamu ya kuonyesha vipaji on the stage akapanda braza Alan Mlawa hakika aliutendea vyema wimbo wa Rangi ya chungwa akisaidiana na wanamuziki wa Jambo Stars band. 

Mpiga gitaa la bass akifanya mikuno. 

Dance lililofana usiku huo.. 

Ni maraha mwanzo mwisho.. 

Aaaah nami si nikageuka Samba Mapangala wafanya mchezo.. 'Dunia tunapita..eEEEee'

Wadau wa ukweli wakiongozwa na Alan Kisoi pale kati wakisutumukazzZZ.. 

Aaaaah Victaaaaaaa... 

Chungulia imo-MO. 

Kutoka kushoto ni Henry Mabumo, Albert G. Sengo na Jerome 'Kamanda' 

KonazzzZZZ.. 

Mwisho wa siku bendi nzima ikashikwa na waandishi wa habari... watu wewe.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.