ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 5, 2012

"ILIKUWA KATIKA NINI NA NIKWANINI.......!!!!......?"

Mbunge Mteule wa Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji na ze-keki.

Mbunge Mteule wa Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji akipomkelekea keki Mbunge wa Kawe Halima Mdee..Ahaa mheshimiwa Shy-Rose unataka nitengwe nini??? mimi simooooo hata waandishi wakipiga picha sijaigusa maana hata rangi zake sizielewi elewi hazifanani naza kwetu...
Asante sana labda mpeleee mwenzangu yeye akiigusa sawa tu wala sina matatizo nae ila mimi nitaenda kumsemelea...

.Ehe alipofika kwa mwenzake ikabidi yeye asiiangalie kabisa maana alisema rangi zake zinamuumiza macho... hahahahaha
KUONDOA 'UTATA' BOFYA ANUANI IFUATAYO:-

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.