Jeshi la Polisi Wilayani Arumeru lina mshikiia *Moses Latiaeli Pallangyo* almaarufu kama Moses Lebaba anayejishughulisha na nyimbo za injili, Kwa tuhuma za Kumuua kwa shoka Mwanamke alietambuliwa kwa Majina ya *Marry Richard Mushi* mkazi wa kijiji cha *Kilinga Wilayani Arumeru* aliyeuawa kwa kupigwa na shoka leo Tarehe 25/12/2019 Majira ya mchana na mwanaume aliyekuwa akiishi naye, Katika kijiji cha Kiinga Wilayani Arumeru
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment