Rais John Magufuli leo amemteua Mathias Kabunduguru kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, akichukua nafasi ya Hussein Katanga aliyeteuliwa kuwa Balozi, Ikulu imesema.
WCF YAPONGEZWA KWA UTOAJI HUDUMA BORA KWA WANANCHI
-
Na; OWM (KAM) - DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus
Sangu ameupongeza Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa ...
0 comments:
Post a Comment