Arsenal walibomolewa na Bayern Munich kwa mara nyingine tena na kujikuta wakitolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya katika ngazi ya timu 16 kwa kuzabwa jumla ya magoli 10-2.
Kichapo cha magoli 5-1 kwenye uwanja wa Emirates walichotoa Bayern Munich kwa Arsenal ndio habari ya ‘mujini’ kwenye kurasa za habari za michezo za magazeti mengi ya England.
Kila gazeti limeipa uzito habari hiyo ambayo imeitikisa dunia hasa matokeo ya jumla (aggregate) kuwa Bayern Munich 10-2 Arsenal.
Tupe maoni yako





0 comments:
Post a Comment