![]() |
| Ni picha ya pamoja Meya Mabula, mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga(katikati) na Naibu meya John Minja wakiwa katika ofisi ya Mstahiki Meya |
![]() |
| Madiwani wa CCM wilaya ya ilemela kabla ya uchaguzi wao kuahirishwa. |
![]() |
| Madiwani wa CHADEMA wakiwa na mbunge wao wa wilaya ya Ilemela Highness Kiwia (katikati) wakisubiri taratibu za uchaguzi ambao hata hivyo haukufanyika. |
MAPOKEZI MAKAO MAKUU YA CHAMA MWANZA...
![]() |
| Nje ya ofisi za CCM kulikuwa na makaribisho ya kutosha kwa wanachama mbalimbali kujitokeza kumlaki Meya mpya na naibu wake. |
![]() |
| Meya na naibu wake wakiwasili ..... |
![]() |
| Shangwe zikatawala kwa mtu wao... |
![]() |
| Ni full raha, ni full kujiachia kwa wanachama wa CCM Nyamagana jijini Mwanza. |
![]() |
| Hapa Meya aklikutana na Mwenyekiti wa Vijana mkoa wa Mwanza. |
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment