TBL YADHAMINI MASHINDANO YA KOMBE LA POLISI JAMII WILAYA YA ILEMELA NA
NYAMAGANA MKOANI MWANZA.
Regional Crime Officer-Mwanza Joseph M. Konyo akipokea kitita cha shilingi milioni moja kutoka kwa meneja matukio wa kanda ya ziwa Erick Mwayela, ili kufanikisha mashindano ya kombe la polisi jamii wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.
Afisa upelelezi Patrick Kimaro akipokea pesa taslim sh 1,000,000/= kwa niaba ya Mkuu wa Polisi wilaya ya Ilemela kutoka kwa meneja matukio wa kanda ya ziwa Erick Mwayela kwa ajili ya mashindano ya Polisi jamii ya wilaya ya Ilemela Mwanza.
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
-
JESHI la Polisi linapenda kujulisha kuwa, hadi jioni hii ya tarehe
10.12.2025 hali ya nchi kiusalama ni shwari na shughuli za kiuchumi na
kijamii zimee...
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
-
JESHI la Polisi linapenda kujulisha kuwa, hadi jioni hii ya tarehe
10.12.2025 hali ya nchi kiusalama ni shwari na shughuli za kiuchumi na
kijamii z...
0 comments:
Post a Comment