Lapa linawakilisha Mwananchi wa kawaida, Mzalendo, Mlala hoi
Ilikuwa ni bonge la paty lililoandaliwa na Mwanamuziki wa kimataifa kutoka nchini Tanzania, Mwanadada Lady Jay Dee katika kuwapongeza Young Africans kunyakuwa kombe la Kagame na kulibakiza nchini.
Insu kamili tembelea www.ladyjaydee.blogspot.com
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment