Tupe maoni yako
MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MOSHI AANZA RASMI MAJUKUMU.
-
Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mhe. John Mapato
Meela,(Chui) ameanza rasmi majukumu yake baada ya kuwasili ofisini kwa mara
ya kwanza t...
2 hours ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.