Tupe maoni yako
MEYA DKT. NICAS: TUMETENGA MIL. 900 UJENZI WA MADARASA, MIL. 400 KWA AJILI
YA MADAWATI KIBAHA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, amesema kuwa uongozi wake
pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha wametenga ...
11 minutes ago
Pole kwa ndugu na jamaa ya Kaka Kabago.
ReplyDeleteAsante kwa taarifa Kaka G
Blessings
Nimepokea kwa mshtuko msiba wa mama yetu mama Kabago.
ReplyDeletePoleni sana familia yoote ya kabago.Tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu.Pole sana Philbert kwa msiba.
Sote tulimpenda mama,Mungu kampenda zaidi.Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi.Amina
Naomba Sengo personally nifikishie salam zangu za pole kwa Philbert na nitashukuru sana ukipatia namba yake kupitia email yangu :edondaki@yahoo.com
hao ni watu wangu wa karibu sana mitaa ya kirumba mkuu..plz nisaidie kwa hilo.asante